Swahili Basic Conversation

Habari gani?

Sawa

Samahani.

Kwaheri.

Usijali.

Unazungumza kiingereza?

Tafadhali zungumza polepole zaidi

Ndiyo

Hapana

Samahani.

Hakuna shida.

Bahati njema!

Greetings

Jina lako nani?

Jina langu ni…

Ninatoka ... (nchi).

Una miaka mingapi?

Nina umri wa miaka 25.

Una ndugu na dada ngapi?

Nina ndugu mmoja mdogo.

Nina dada wawili wakubwa.

Unafanya kazi wapi?

Nafanya kazi katika ...

Unasoma wapi?

Nasoma katika ...

Naweza kuwa na kadi ya jina yako?

Vizuri tumekutana.

Mimi ni mwanafunzi wa chuo.